Uzi : MANENO SABA( 7 ) YALIYOBEBA UJUMBE WA LEO...🥺

1. ~Bro binadamu Watakusukuma ili uanguke lakini ukifanikiwa watasema walikusukuma ili usogee mbele ishi nao kwa akili ila usiwaami...🦍

Malizia nne( 4 ) za Mwisho zitakufunza kitu, Endelea...👇
2. ~Bro Kuna mwingine kazikuta ila akina sie tunatakiwa kuzitafuta...🦍
3. ~Bro Matendo yako na jinsi unavyoishi na Watu ni Muhimu zaidi kuliko Maneno yako...🦍
4. ~Bro Uongo unazaa kutokua na uaminifu kwako mwenyewe au kwa watu wengine. Ukifatilia kwa kina unakuta Uongo pia umechangia kwa kiasi kikubwa kukwamisha maendeleo yetu katika nyanja mbalimbali ata kutoaminika tena...🦍
5. ~Bro KUNA wakati tunapata taabu pale tunapokutana na wale tuliowaona hawawezi tena dhaifu zaidi wakiwa katika namna tusiyodhani ya mafanikio🙄. TUJIFUNZE🤔 kumheshimu kila mtu awe dhaifu au hawezi maana hujui Mungu amempangia nini mbele yake...🦍
6. ~Bro Kuwa nafuraha kwa kile kidogo ulicho nacho kuna mwengine hana kabisa...🦍
7. ~Bro Watu Pekee Ambao Wanataka Ufanikiwe Zaidi Kuwazidi Wao ni Wazazi Wako tu, Waliobaki Kuna Muda Watakukasirikia Ukifanikiwa Zaidi Yao...🦍
Kwa madini unaweza tembelea Status za #The_ChandO Kupitia link hii 👉 https://wa.me/+255762305991 

imewasilishwa na @SadickTusia Mtaalamu🇹🇿

~Kwa contents za kingereza tembelea @ChandoFact 👇
~Kwa Ununuaji wa Vitu Used tembelea @ChandoMaterials
Sio Mbaya ukiacha Retweet yako na wengine wanufaike kupitia wewe, Mungu atakuzidishia kwa Moyo wako Rehema na Baraka Nyingi...🤝🙏
You can follow @SadickTusia.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled: