So jana I had a lot of free time na nikadm huyu jamaa. Thread https://twitter.com/realog_/status/1309504865899556868
So the guy went to confirm the payment, the way alikua anaongea, ni kama alitoa sim card akaipuliza, akapigia customer care kuuliza mbona payment imehang
So I kept playing dumb and insisted mimi I paid, hizo delays sijui. My guy ni kama alikua amepangia hio 9k. Hata akarudi online fulltime sasa
Sasa kamenipiga blueticks lakini nishaidentify new prey. Wacha nione penye tutafikishana na huyu wa iPhone inakuja na airpods plus watcg
Niko karibu kumalizana na huyu. Stay tuned