Na uko 2018 nlkua nakaa na mtaasis wa mine na apo Hunters tiplo fulani after Clay City.. So day moja nlpiga walk nkapatana na kadem fulani nkajitetea nkajengwa mbana... Uyo dem alkua anakaa unacheki Royal Star Supermarket opposite na apo... Alkua anaishi kwao.. Wazae wake nkama
Walkua na kakitu juu walkua wamejenga apo... Sasa nkama tulilykiana... Alkua anaishi buda, monsai wake, siz yake mkubwa na kasiz kapienga... Wazae na siz mkubwa walkua wanaishia job by kitu 11 apo so alkua anabaki yeye na ako kasiz kake... Sasa juu pia mm nlkua naachwa solo
Ikabidi tuunde duty ya kutembeleana 😂 yeye alkam siku mbili consecutively nlkua nagwaya kwenda kwao mm... Sasa ikafika day yangu kwenda uko... Akantext day before... Mm uyo nkaamua niende tu...by 12 kila mtu hukua amenda job
Mm kufika nlkaa tu sitting room bana juu nlkua na uoga
Ayaa kasiz kadogo kalkua na adabu alkua Anatoka anacheza kwa within io compound sisi tukifanya 1,2 zetu😅... Buda alkua anarudi wa mwisho kitu 5 wengine mum na siz mbwaku walkua by 3 to 4 wamefika... But io day sijui what happened.. Sisi tukiwa 'tumekaa' apo tulskia bell ya gate
Ikiring... Siz kadogo kakam kutuambia ni dad amekam😭😭waah msee mm nkaanza kutremble karbu nlie... Sasa apo ujanja haikua juu nlkua kwa compound yao na ikona perimeter wall.. On the left ni hao ya msee mwingine, right same thing.. Nyuma ya kwao kuna ka private school...
Nkapiga hesabu in case njump either way naeza pigwa mob wakidhani mm ni gondi..siz Mdogo hakufungua gate mapema.. Mm nkapelekwa uko nyuma penye kuku hulala nkaambiwa njifiche na apo... Bana mm natetemeka sina nguvu.... Uyu siz mdogo venye alfungua gate akachukua briefcase na....
Kuanza kuzubaisha mzae na story adi wakaingia kwa keja... Uzuri io keja ilkua na ki floor juu penye mzae alkua anatulia... Kwa izo harakati za kupelekwa floor ya kwake ndio uyu dem akanhepesha juu gate siz mdogo Hakufunga... Tangu io day sijairudi Kasa tena
You can follow @Brownwailer.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled: