Hadithi 24 za Mtume Muhammad (ﷺ).... Thread.. 


1- ADDIYNUN-NASIIHATU
Dini ni nasaha
Dini ni nasaha
2 - IJTANIBUL GHADHWABA
Jiepusheni na hasira
Jiepusheni na hasira
3 - ADDUU ZAKAATAKUM
Toeni zaka zenu
Toeni zaka zenu
4 - IHFADH LISAANAKA
Linda ulimi wako
Linda ulimi wako
5 - ARHAAMUKUM ARHAAMUKUM
Ndugu zenu ndio ndugn zenu6
Ndugu zenu ndio ndugn zenu6
6-ARSHIDUU AKHAAKUM
Waongozeni ndugu zenu
Waongozeni ndugu zenu
7 - ASLIM TASLAM
Silimu utasalimika
Silimu utasalimika
8 - ATWI’ ABAAKA
Watii wazazi wako
Watii wazazi wako
9 - I’TAKIF WA SUM
Kaa katika i’tikafu na funga saumu
Kaa katika i’tikafu na funga saumu
10 - A’LINU NNIKAAHA
Itangazeni ndoa
Itangazeni ndoa
11 - AKRIM-I-SHSHA’RA
Ziheshimu nywele
Ziheshimu nywele
12 - AL-AIMANU FAL AIMANU
Wa kulia tena wa kulia wake
Wa kulia tena wa kulia wake
13 - ISHFA’UU TU’JARUU
Ombeeni, Mtapata ujira
Ombeeni, Mtapata ujira
14 - AL-A’MAALU BILKHAWAATIIMI
Matendo hupimwa kwa mwisho wake
Matendo hupimwa kwa mwisho wake
15 - UUSWIIKUM BIL JAARI
Nawausieni juu ya jirani
Nawausieni juu ya jirani
16 - AKRIMU AULAADAKUM
Waheshimuni watoto wenu
Waheshimuni watoto wenu
17 - . AL-AMAANATU ‘IZZUN
Kuaminiwa ni heshima
Kuaminiwa ni heshima
18 - BAJJILU-L-MASHAAIKHA
Waheshimuni wazee1
Waheshimuni wazee1
19 - TA’ALLAMUL-YAKIINA
Jifunzeni yakini
Jifunzeni yakini
20 - TAHAADUU TAHAABBUU
Pelekeaneni zawadi mpendane
Pelekeaneni zawadi mpendane
21 - ATTA’ZIYATU MARRATAN
Kupeleka rambirambi kuwa kwa mara moja tu
Kupeleka rambirambi kuwa kwa mara moja tu
22 - AL-KHAALATU WAALIDATUN
Dada ya mama ni mama
Dada ya mama ni mama
23 - ADDU’AAU HUWAL’IBAADATU
Maombi ndiyo ibada
Maombi ndiyo ibada
24 - ADDUNYA MAZRA’ATUL - AAKHERATI
Dunia ndivo konde la Akhera
Dunia ndivo konde la Akhera