AN OPEN LETTER
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Love letter" aria-label="Emoji: Love letter"> TO MY EX
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Broken heart" aria-label="Emoji: Broken heart">
Hello beautiful,
Natumai uko salama sana pengine zaidi ya hata tulivokua wote.Ulifanyika baraka kwangu ndo maana leo nakutumia salamu.Simaanishi kuna nachohitaji kwako La hasha
T H R E A D
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Down pointing backhand index" aria-label="Emoji: Down pointing backhand index">
Hello beautiful,
Natumai uko salama sana pengine zaidi ya hata tulivokua wote.Ulifanyika baraka kwangu ndo maana leo nakutumia salamu.Simaanishi kuna nachohitaji kwako La hasha
T H R E A D
Ulikuja kwangu kama ua la kijani la pekee kwenye jangwa lakini haikufaa kitu tukaachana.
Ulinipa faraja nikajiona wa thamani kama kijito pekee kinachotiririsha maji pale jangwani. Nachoshukuru Mungu ulinikosea wewe na wala sio mimi kukukosea wewe
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Broken heart" aria-label="Emoji: Broken heart">
Ulinipa faraja nikajiona wa thamani kama kijito pekee kinachotiririsha maji pale jangwani. Nachoshukuru Mungu ulinikosea wewe na wala sio mimi kukukosea wewe
Nakumbuka mengi tulofanya pamoja nkajiona nipo peke angu kwenye dunia iliyotulia lakini kumbe niko na wenzangu wengi kwenye dunia ndogo ya moyo wako.
Uliniumiza sana zaidi ya kunikera nachoshukuru Mungu mimi nilizaliwa na furaha tumbo moja nacheka. Nkakubali yaishe
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Smiling face with open mouth and smiling eyes" aria-label="Emoji: Smiling face with open mouth and smiling eyes">
Uliniumiza sana zaidi ya kunikera nachoshukuru Mungu mimi nilizaliwa na furaha tumbo moja nacheka. Nkakubali yaishe
Nakumbuka mapenzi yako ya kiFilipino ya mimi na wewe kutembea kwenye mvua but trust me sasaivi nimenunua mwavuli.
Haimaanishi nadharau kumbukumbu zile hapana sitaki kutembea kwenye mvua ili niumwe kifua nife wakati we upo unafurahia maisha na mtu wako mpya
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Smiling face with sunglasses" aria-label="Emoji: Smiling face with sunglasses">
Haimaanishi nadharau kumbukumbu zile hapana sitaki kutembea kwenye mvua ili niumwe kifua nife wakati we upo unafurahia maisha na mtu wako mpya
Dear Ex, kila nikivaa ile t-shirt
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="T-shirt" aria-label="Emoji: T-shirt"> uliyoninunulia kama zawadi siku ya birthday yangu nakukumbuka sana natamani unione tena nikipendeza nayo mtaani.
Lakini pia natamani iishe haraka.Sio kwa ubaya, nataka tuu siku niifanyie dekio pale nyumbani ibaki kama kumbukumbu
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Smiling face with open mouth and smiling eyes" aria-label="Emoji: Smiling face with open mouth and smiling eyes">
Lakini pia natamani iishe haraka.Sio kwa ubaya, nataka tuu siku niifanyie dekio pale nyumbani ibaki kama kumbukumbu
Ulikua mrembo sana.Ulinishawishi niache kushabikia muziki wa Diamond nimskilize Ali Kiba.Nliienjoy sana zile nyimbo tukiimba usiku.
Bahati mbaya mpaka hivi navoandika huu ujumbe kwako nipo naskiliza JEJE ya Diamond.Sio kwa ubaya ni vile nataka nisiwe sawa na bwana wako mpya
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐ค" title="Hugging face" aria-label="Emoji: Hugging face">
Bahati mbaya mpaka hivi navoandika huu ujumbe kwako nipo naskiliza JEJE ya Diamond.Sio kwa ubaya ni vile nataka nisiwe sawa na bwana wako mpya
Dear Ex, nakumbuka sana tulivokua tunalala wote pale kitandani nikikukumbatia kila nikijigeuza.Nilifurahi sana
Ila kwa sasa nimenunua mito mitano ya kitandani ili niwe naikumbatia nilalapo.Haimaanishi nakulinganisha na mto hapana ni vile mito mitano ni mingi halafu we ni mmoja
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Winking face" aria-label="Emoji: Winking face">
Ila kwa sasa nimenunua mito mitano ya kitandani ili niwe naikumbatia nilalapo.Haimaanishi nakulinganisha na mto hapana ni vile mito mitano ni mingi halafu we ni mmoja
Mpendwa Ex ulinivunja moyo wangu
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Broken heart" aria-label="Emoji: Broken heart"> nlikua Samson ukaamua kuniDelila.
Nakuombea huko uliko ufanikiwe maana we si adui yangu.Furaha yangu siku moja nikukute upo kitengoni na mimi ili nikija kwenye interview nipate kazi kwa urahisi.
Nakuombea huko uliko ufanikiwe maana we si adui yangu.Furaha yangu siku moja nikukute upo kitengoni na mimi ili nikija kwenye interview nipate kazi kwa urahisi.
Dear Ex, ulinichanganya sana maana ulisema unapenda mimi nawewe tukiwa tunatembea kwa miguu njia nzima lakini ukaja kuniacha ukaenda kwa jamaa mwenye gari.
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Unamused face" aria-label="Emoji: Unamused face">
Nachoshukuru hata mimi kwa sasa namiliki magari mengi sana japo yako kwenye game za simu tuu lakini my future is bright
Nachoshukuru hata mimi kwa sasa namiliki magari mengi sana japo yako kwenye game za simu tuu lakini my future is bright
Nakuombea upate watoto wazuri kama au zaidi yako wakike tupu kama wanne kwa mujibu wa uzazi wa mpango itapendeza.
Natamani pia niwe jirani yako huko mbele. Si kwa ubaya, nataka pia ukiwa na hao watoto wakike wanne na mimi huku niwe na wakiume wanne
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐ค" title="Hugging face" aria-label="Emoji: Hugging face">
Natamani pia niwe jirani yako huko mbele. Si kwa ubaya, nataka pia ukiwa na hao watoto wakike wanne na mimi huku niwe na wakiume wanne
Picha zako kwa bahati mbaya zilipotea pamoja na simu ile niliyoibiwa. Ni miongoni mwa kitu kilichoniuma sana
Basi ukipata ujumbe huu naomba unitumie zile picha zako zote. Si kwa nia mbaya hapana, nataka ukintumia nizifute mwenyewe
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐" title="Smiling face with open mouth and smiling eyes" aria-label="Emoji: Smiling face with open mouth and smiling eyes">
Basi ukipata ujumbe huu naomba unitumie zile picha zako zote. Si kwa nia mbaya hapana, nataka ukintumia nizifute mwenyewe
Ulikua mwanamke mzuri sana,tuliahidiana mengi pia.Nakumbuka uliniambia nikikuacha utakonda.Cha ajabu siku ile nimekutana nawewe unaenda kwa fundi kuongeza ukubwa wa nguo kwa jinsi ulivonenepa
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐ญ" title="Loudly crying face" aria-label="Emoji: Loudly crying face">
Nachoshukuru na afya njema mpaka sasa. Bado sina hela kama ulivoniacha but am not poor am pre-rich.
wewe kwangu ni wa maana sana.Nakuomba tukikutana basi usisite kuniita tusalimiane japo zisizidi dakika tano maana picha ya ile siku nakufumania itanijia na sitaki kuozea jela
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="๐ซ" title="Tired face" aria-label="Emoji: Tired face">
wewe kwangu ni wa maana sana.Nakuomba tukikutana basi usisite kuniita tusalimiane japo zisizidi dakika tano maana picha ya ile siku nakufumania itanijia na sitaki kuozea jela
Zaidi ya yote mimi sijabadilika lakini sio yule Noe wa zamani.Kuna siku ntakupa lift na ntakupeleka kwa mumeo ukiwa ndani ya Range Rover wakati yeye IST yake ikiwa garage kakosa pesa ya kuitoa. Ex wako sio adui yako lakini sio lazima awe rafiki yako
#End
#MyMindSpeak
#NohTalk
https://abs.twimg.com/emoji/v2/... draggable="false" alt="โ๏ธ" title="Hot beverage" aria-label="Emoji: Hot beverage">
#End
#MyMindSpeak
#NohTalk