TAYLOR'S GANG

Kama zilivo rec lebel nyingi za mastaa najua hii sio kitu kigeni kwako

TAYLOR'S GANG OR DIE (TGOD)
Kama mwenyewe Wiz khalifa anavopenda kuliita
Hii lebel iliundwa mwaka 2008 na Rapper Wiz Khalifa
Ni zaidi ya lebel kwa jinsi inavofanya kazi zake kwani imekua signed na Atlantic Rec

Ikiwa na wasanii kama
Wiz khalifa mwenyewe Rapper Juicy J,Ty Dollar Sign,Project Pat,Dj Bonics,Chevy Woods,Berner pamoja na maproducer wao Sledgren na TM88
Neno Taylor's limetokana na Taylor Allderdice High School hii ni shule aliosoma Wiz khalifa

Na ilikua ni zaidi ya family kwa namna walivomsupport
Pia neno Taylor's kwa mujibu wa Wiz kutokana na kuvihusudu sana zile raba za kijanja muda wote Converse/All star
Likitoka kwenye logo ya Converse Chuck Taylor's All Star na amefanya Hivi kama appreciation kwao
Lengo la kuunda lebels nadhani linajulikana

Kuanzia album ya Rolling Papers 1 ya mwaka 2011,O.N.I.F.C 2012,Blac Hollywood 2014 mpaka Rolling Papers 2 ya mwaka 2018
Kazi zote zilifanyika chini ya Taylor's Gang na sio yeye tu Bali kwa members wote wanalounda kundi hilo usimamizi safi unafanya kila mmoja ang'are katika angle yake

Hii nmeileta kwa sababu Hivi majuzi tu Wiz khalifa alikua na mpango wa kumsign mtoto wake Sebastian (Bash)
Kwenye lebel hio bash mwenye miaka 6 tu Kumbuka kwa Mara ya kwanza anaonekana kwenye video ya Zoney ya mwaka 2016

Na mwishoni wiz khalifa anamwambia baadhi ya maneno kisha Bash akawa anayarudia kuyasema likiweno neno Taylor's Gang.
You can follow @TillertheWorld.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled: